Kinorwei

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Kinorwei
Norsk
Pronunciation [nɔʂk]
Inazungumzwa nchini Norwei
Jumla ya wazungumzaji 4,700,000
Familia ya lugha Lugha za Kihindi-Kiulaya
Standard forms
Mfumo wa uandikaji Alfabeti ya Kilatini
Hadhi rasmi
Lugha rasmi nchini Norwei
Hurekebishwa na Språkrådet
Misimbo ya lugha
ISO 639-1 no
ISO 639-2 nor
ISO 639-3 nor

Kinorwei (Kinorwei: norsk) ni lugha ya Kigermanik ya Kaskazini katika jamii ya lugha za Kihindi-Kiulaya.

Kinorwei kinasemwa na watu 4,700,000 hivi, na ni lugha rasmi nchini Norwei.

Kinorwei, Kiswidi na Kidenmark vinavyoitwa lugha za Skandinavia ya bara vinahusiana sana.

Kinorwei kina insha rasmi mbili: bokmål na nynorsk.

Viambishi ni mofimu au viungo vyenye maana ambavyo hufungamanishwa na mzizi/shina la neno ili kulipa neno hilo maana mbalimbali za kisarufi kama vile nafsi, wakati, hali, urejeshi, n.k Viambishi awali ni vile vinavyotangulia mzizi wenyewe, yaani huwa kabla ya mzizi/shina. SHINA AU MZIZI: Hakuna tofauti kati ya shina na mzizi MZIZI/SHINA, Ni sehemu ya neno inayobeba maana yake kuu na huwa haibadiliki, Kwa mfano, tuangalie vitenzi vifuatavyo: a-na-LIM-a wa-li-LIM-i-a ni-ta-LIM-iw-a wa-na-vyo-LIM-a Ukiangalia kwa makini, utaona kuna sehemu ya kitenzi hiki ambayo haibadiliki katika mifano ya hapo juu. Sehemu hiyo ni (-LIM-). Na hii ndiyo shina au mzizi wa kitenzi LIMA. Mfano mwingine: a-li-ki-SOM-a hu-SOM-ew-a wa-li-SOM-e-an-a a-li-m-SOM-e-a i-li-SOM-w-a Tunaona hapa mzizi/shina la kitenzi SOMA, ni -som- Ili utambue shina/mzizi wa kitenzi unafaa kuwazia hali mbalimbali au kauli tofautitofauti za mnyambuliko wa kitenzi halafu ubainishe sehemu isiyobadilika.