Zoilo wa Cordoba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Zoilo wa Cordoba (alifariki Cordoba, 304) alikuwa Mkristo wa Hispania, aliyeuawa pamoja na wenzake 19[1] mwanzoni mwa dhuluma ya kaisari Diokletian [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 27 Juni[3] au 22 Desemba[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.