Zita wa Lucca
Mandhari
Zita wa Lucca (Lucca au Succisa, 1218 - Lucca 27 Aprili 1278) alikuwa bikira mlei wa Italia aliyejitokeza kwa wema na ukarimu wa pekee[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu[2]. Papa Inosenti XII alithibitisha heshima hiyo tarehe 5 Septemba 1696.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/32050
- ↑ E. Cecchi, N. Sapegno, Storia della Letteratura italiana, vol. II, Il Trecento, Garzanti, Milano, 1965, p. 69
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo ya Kiswahili
[hariri | hariri chanzo]- John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 146-147
- Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 125-126
Marejeo ya Kiitalia
[hariri | hariri chanzo]- Simonetta Simonetti, Santa Zita di Lucca, Ed. Pacini Fazzi, 2006
- Vittorio Sermonti, Inferno, Rizzoli, 2001
- Umberto Bosco e Giovanni Reggio, La Divina Commedia - Inferno, Le Monnier, 1988
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |