Zdislava

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Zdislava kadiri ya utafiti wa mwaka 2018.

Zdislava Berka (pia: Zdislava wa Lemberk; 1220 hivi - 1252) alikuwa mke wa mtawala wa Lemberk (Ucheki).

Mwanachama wa Utawa wa Tatu wa Mt. Dominiko, alikuwa maarufu kwa moyo wake wa ibada na wa huruma kwa wahitaji.

Anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu tangu alipotangazwa na Papa Yohane Paulo II tarehe 21 Mei 1995.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Januari[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.