Yosefu Ma Taishun

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Yosefu Ma Taishun (Qianshenzhuang, 1840 hivi - Wangla 26 Juni 1900) alikuwa mganga na katekista wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Waboksa, baada ya ndugu zake kuasi imani ili kuokoa uhai wao[1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 26 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.