Yohane wa Brebeuf
Yohane wa Brebeuf, S.J. (Condé-sur-Vire, Normandy, Ufaransa 25 Machi 1593 – karibu na Midland, Ontario, Kanada, 16 Machi 1649) alikuwa padri wa Wajesuiti mmisionari kwa Wahuroni wa Amerika Kaskazini tangu mwaka 1625 (isipokuwa 1629-1633)[1].
Alikamatwa pamoja na Waindio hao, akateswa akauawa na Wairoki, kabila lingine la Waindio.
Alitangazwa na Papa Pius XI kuwa mwenye heri tarehe 21 Juni 1925, na kuwa mtakatifu tarehe 29 Juni 1930[2].
Sikukuu ya kundi lake la wafiadini huadhimishwa tarehe 19 Oktoba, lakini ya kwake mwenyewe huadhimishwa tarehe ya kifodini chake[3].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Blackburn, Carol (2000). [[[:Kigezo:Google books]] Harvest of Souls: The Jesuit Missions and Colonialism in North America, 1632–1650]. Montréal: McGill–Queens University Press. ISBN 0-7735-2047-3.
- Brébeuf, J. (2008). "The Mission to the Hurons (1635–37)", First People: A Documentary of American Indian History, 3rd, Boston, Massachusetts: Bedford. ISBN 978-0-3126-5362-0.
- Gray, Charlotte (2004). The Museum Called Canada: 25 Rooms of Wonder. Random House. ISBN 0-6793-1220-X.
- (2000) The Jesuit Relations: Natives and Missionaries in Seventeenth-Century North America. Boston: Bedford/St. Martins. ISBN 0-3122-2744-2.
- Greer, Allan (April 2000). "Colonial Saints: Gender, Race and Hagiography in New France". The William and Mary Quarterly (Omohundro Institute of Early American History and Culture) 57 (2): 323–348.
. https://archive.org/details/sim_william-and-mary-quarterly_2000-04_57_2/page/323.
- Leahey, Margaret J. (1995). "'Comment peut un muet prescher l'évangile' Jesuit Missionaries and the Native Languages of New France". French Historical Studies (Duke University Press) 19 (1): 105–131.
. https://archive.org/details/sim_french-historical-studies_spring-1995_19_1/page/105.
- McGee, Timothy J. (1985). The Music of Canada. New York: W. W. Norton & Company. ISBN 0-393-02279-X.
- "8 Jesuit Martyrs Declared Saints", The New York Times, 30 June 1930.
- Parkman, Francis (1888). The Jesuits in North America in the Seventeenth Century. Boston: Little, Brown, and Company.
- Talbot, Francis X. (1949). Saint Among the Hurons: The Life of Jean de Brébeuf. New York: Harper & Brothers.
- Trigger, Bruce (1986). [[[:Kigezo:Google books]] Natives and Newcomers: Canada's "Heroic Age" Reconsidered]. Montreal: McGill–Queen's University Press. ISBN 0-7735-0595-4.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Bimbenet-Privat, Michèle, « Le buste reliquaire de saint Jean de Brébeuf par Charles de Poilly (1664), Un chef-d'œuvre de l'orfèvrerie parisienne conservé au Québec », Bulletin de la Société nationale des antiquaires de France 1995, Paris, Édition-diffusion de Boccard, 1997, p. 229-235, 4 ill.
- Derome, Robert, « Le buste-reliquaire de saint Jean de Brébeuf, histoires et mythes », Bulletin de la Société nationale des antiquaires de France 1995, Paris, Édition-diffusion de Boccard, 1997, p. 236-253, 6 ill.
- Rev. Sabine Baring-Gould (M.A.). "THE JESUIT MARTYRS IN CANADA. (A.D. 1644-1649.)." In: The Lives of the Saints. Volume the Eighth: July - Part II. London: John C. Nimmo, 1898. pp. 733–788.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |