Yohane Righi
Mandhari
Yohane Batista Righi (Fabriano, Ancona, 1469 hivi – Cupramontana, Ancona, 1539) alikuwa mtawa wa shirika la Ndugu Wadogo na padri wa Kanisa Katoliki kutoka Dola la Papa.
Tangu kale anaheshimiwa kama mwenye heri. Papa Pius X alithibitisha heshima hiyo tarehe 7 Septemba 1903.
Maisha
[hariri | hariri chanzo]Mzaliwa Wa familia ya kisharifu, Yohane alifuata Ukristo tangu utotoni.
Kisha kuahidi kufuata kanuni iliyoandikwa na Fransisko wa Asizi, aliishi katika konventi ya Forano.
Halafu akawa mkaapweke katika pango «La Romita», karibu na Massaccio[2].
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Saints SQPN
- Yohane Righi katika Patron Saints Index Ilihifadhiwa 4 Agosti 2011 kwenye Wayback Machine.
- 11 March saints Ilihifadhiwa 11 Februari 2008 kwenye Wayback Machine. at St. Patrick's Church
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |