Nenda kwa yaliyomo

Yohane Righi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Yohane Batista Righi (Fabriano, Ancona, 1469 hivi – Cupramontana, Ancona, 1539) alikuwa mtawa wa shirika la Ndugu Wadogo na padri wa Kanisa Katoliki kutoka Dola la Papa.

Tangu kale anaheshimiwa kama mwenye heri. Papa Pius X alithibitisha heshima hiyo tarehe 7 Septemba 1903.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Machi [1].

Mzaliwa Wa familia ya kisharifu, Yohane alifuata Ukristo tangu utotoni.

Kisha kuahidi kufuata kanuni iliyoandikwa na Fransisko wa Asizi, aliishi katika konventi ya Forano.

Halafu akawa mkaapweke katika pango «La Romita», karibu na Massaccio[2].

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.