Yohakimu He Kaizhi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Yohakimu He Kaizhi (Zhazuo, 1782 hivi - Guiyang 9 Julai 1839) alikuwa katekista wa China aliyenyongwa hadi kufa kwa ajili ya imani ya Ukristo[1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.