Nenda kwa yaliyomo

Winibaldi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Vinibaldi katika mchoro mdogo.

Winibaldi, O.S.B. (pia: Winibald, Winebald, Winnibald, Wunebald, Wynbald; Wessex, Uingereza, 702 hivi - Heidenheim, Bavaria, Ujerumani, 18 Desemba 761) alikuwa mwana wa Rikardo wa Lucca, na ndugu wa askofu Wilibaldi wa Eichstätt na wa Walburga wa Heidenheim ambao wote tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu, sawa naye mwenyewe[1] .

Watoto hao watatu walimfuata Bonifas mfiadini katika kuinjilisha Ujerumani [2] na Vinibaldi alipewa upadirisho [3].

Baadaye alianzisha monasteri dabo huko akawa abati wake wa kwanza[4][5].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake [6].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. Mershman, Francis. "Sts. Willibald and Winnebald." The Catholic Encyclopedia Vol. 15. New York: Robert Appleton Company, 1912. 24 Apr. 2019
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/91528
  3. Butler, Alban. “Saint Winebald, Abbot and Confessor”. Lives of the Fathers, Martyrs, and Principal Saints, 1866. CatholicSaints.Info. 16 December 2013
    1. REDIRECT Template:Source-attribution
     
    This page was kept as a redirect to the corresponding main article on the topic it names, in order to preserve the page's edit history after its content was merged into the other article's content. Please do not remove the tag that generates this text (unless the need to recreate an article on this page has been demonstrated), nor delete this page.

For more information, follow the first category link.

  • Monks of Ramsgate. “Winebald”. Book of Saints, 1921. CatholicSaints.Info. 13 December 2016
  • Stanton, Richard. A Menology of England and Wales, Burns & Oates, 1892, p. 602
  • Martyrologium Romanum
  • Viungo vya nje

    [hariri | hariri chanzo]
    Makala hii bado ni mbegu.
    Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
    Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
    Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.