Nenda kwa yaliyomo

Winibaldi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Vinibaldi katika mchoro mdogo.

Winibaldi, O.S.B. (pia: Winibald, Winebald, Winnibald, Wunebald, Wynbald; Wessex, Uingereza, 702 hivi - Heidenheim, Bavaria, Ujerumani, 18 Desemba 761) alikuwa mwana wa Rikardo wa Lucca, na ndugu wa askofu Wilibaldi wa Eichstätt na wa Walburga wa Heidenheim ambao wote tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu, sawa naye mwenyewe[1] .

Watoto hao watatu walimfuata Bonifas mfiadini katika kuinjilisha Ujerumani [2] na Vinibaldi alipewa upadirisho [3].

Baadaye alianzisha monasteri dabo huko akawa abati wake wa kwanza[4][5].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake [6].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Marejeo ya Kiswahili

[hariri | hariri chanzo]
  • John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 453-454
  • Pd. Leandry Kimario, O.F.M.Cap. - Mfahamu Mtakatifu Somo Wako - Maisha ya Watakatifu wa Kila Siku pamoja na Watakatifu Wafransisko - Toleo la pili - Dar es Salaam 2021, uk. 392-393

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.