Willem Barents

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Willem Barentsz

Willem Barents (au Barentsz, labda kutoka Barentzoon, mwana wa Barent; Terschelling, mnamo mwaka 1550 - 20 Juni 1597) alikuwa baharia na mpelelezi kutoka nchini Uholanzi.

Barents anakumbukwa kama mgunduzi wa visiwa vya Spitsbergern (Svalbard). Alilenga kukuta njia ya kufika katika Bahari Pasifiki kupitia bahari ya Aktiki.

Bahari ya Barents [1] na mji wa Barentsburg vilipokea jina lake.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]