Wilaya ya Handeni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wilaya ya Handeni katika mkoa wa Tanga

Handeni ilikuwa wilaya ya Mkoa wa Tanga katika Tanzania hadi kugawiwa katika Wilaya ya Handeni Mjini na Wilaya ya Handeni Vijijini mnamo mwaka 2012.

Imepakana na wilaya ya Kilindi upande wa magharibi, wilaya ya Korogwe na Mkoa wa Kilimanjaro upande wa kaskazini, wilaya ya Pangani upande wa mashariki na Mkoa wa Pwani kwa kusini.

Mwaka 2002 ilikuwa na wakazi 249,572. [1]

Tarafa[hariri | hariri chanzo]

Wilaya ya Handeni ilikuwa na tarafa 7 kata 19 na vijiji 112. Tarafa zilizopo ni Chanika, Sindeni, Mkumburu, Magamba, Kwamsisi, Mzundu na Mazingara. Kata zilizopo nia kama zifuatazo:

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Flag-map of Tanzania.svg Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Tanga bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Handeni kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.
Flag of Tanzania.svg Kata za Wilaya ya Handeni Mjini - Mkoa wa Tanga - Tanzania Flag of Tanzania.svg

Chanika | Kideleko | Konje | Kwamagome | Kwediyamba | Kwenjugo | Mabanda | Malezi | Mdoe | Mlimani | Msasa | Vibaoni

Flag of Tanzania.svg Kata za Wilaya ya Handeni Vijijini - Mkoa wa Tanga - Tanzania Flag of Tanzania.svg

Kabuku | Kabuku Ndani | Kang'ata | Kiva | Komkonga | Kwachaga | Kwaluguru | Kwamatuku | Kwamgwe | Kwamsisi | Kwankonje | Kwasunga | Kwedizinga | Mazingara (Handeni) | Mgambo (Handeni) | Misima | Mkata | Ndolwa | Segera | Sindeni