Wiho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wiho (pia: Wicho, Wito, Vuiho; Ljouwert, leo nchini Uholanzi, karne ya 8 - Osnabruck, leo nchini Ujerumani, 20 Aprili 804/805) alikuwa abati, halafu askofu wa kwanza wa jimbo la Osnabruch, lililoanzishwa na Karolo Mkuu mwaka 772 ili kuinjilisha Wasaksoni [1]. Kwa ajili hiyo aliteseka sana[2].

Chini yake jimboni kilianzishwa kimojawapo kati ya vyuo vya juu vya Ujerumani, Gymnasium Carolinum.

Anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe 20 Aprili[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Friedrich Philippi: Wiho. In: Allgemeine Deutsche Biographie (ADB). Band 42, Duncker & Humblot, Leipzig 1897, S. 472.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.