Western Lakes (jimbo)
Mandhari
| Western Lakes State | |
| Nchi | Sudan Kusini |
|---|---|
| Makao makuu | Rumbek |
| Idadi ya kaunti | 9 |
| Idadi ya manispaa | |
| Serikali | |
| - Gavana | Matur Chut Dhuol |
| Idadi ya wakazi (Kadirio la 2014) | |
| - Wakazi kwa ujumla | 546,240 |
Western Lakes State ni mojawapo kati ya majimbo 32 yanayounda Sudan Kusini.
Imegawanyika katika kaunti 9: Rumbek County (makao makuu: Rumbek), Eastern Bhar Naam County (makao makuu: Aduel), Wulu County (makao makuu: Wulu), Western Bhar Naam County (makao makuu: Pacong), Malueth County (makao makuu: Meen), Malek County (makao makuu: Malek), Aloor County (makao makuu: Maper), Bhargel County (makao makuu: Bhargel) na Amongping County (makao makuu: Amongpiny).[1][2]
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "9 Counties Established In Western Lakes State". Gurtong. 30 Agosti 2016. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-11-06. Iliwekwa mnamo 27 Novemba 2016.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "Nine new counties created in Western Lakes states". Sudan Tribune. 1 Septemba 2016. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-11-03. Iliwekwa mnamo 27 Novemba 2016.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
| Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Western Lakes (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
