Wayazidi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wanawake wa Kiyazidi wakiwa wamevaa nguo za kitamaduni.

Wayazidi ni kabila la watu wanaoishi hasa katika eneo la Kurdistan[1][2][3] na kwa namna ya pekee katika sehemu yake nchini Iraq[4][5], lakini wengine wengi wamekimbilia Ujerumani[6][7] na nchi nyingine.

Wanakadiriwa kuwa milioni moja au moja unusu.

Wanafuata dini yao maalumu ambayo inamuabudu Mungu mmoja tu. Kwa ajili yake wamedhulumiwa sana na Waislamu waliotawala eneo lao, kwanza Waarabu, halafu Waturuki.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Nelida Fuccaro (1999). The Other Kurds: Yazidis in Colonial Iraq. London & New York: I. B. Tauris. uk. 9. ISBN 1860641709. 
  2. Pirbari, Dimitri; Grigoriev, Stanislav. Holy Lalish, 2008 (Ezidian temple Lalish in Iraqi Kurdistan). 
  3. Omarkhali, Khanna (2017). The Yezidi religious textual tradition, from oral to written : categories, transmission, scripturalisation, and canonisation of the Yezidi oral religious texts: with samples of oral and written religious texts and with audio and video samples on CD-ROM. ISBN 978-3-447-10856-0. OCLC 994778968. 
  4. Kane, Sean (2011). "Iraq's disputed territories". PeaceWorks. United States Institute of Peace. Iliwekwa mnamo 15 October 2018.  Check date values in: |accessdate= (help)
  5. "On Vulnerable Ground – Violence against Minority Communities in Nineveh Province's Disputed Territories". Human Rights Watch. November 2009. Iliwekwa mnamo 15 October 2018.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  6. Alkaidy, Gohdar. "Mir Tahsin Said Beg: Oberhaupt der Jesiden stirbt im deutschen Exil", 28 January 2019. 
  7. Meyer, Natalie Lydia. "Geschichten vom Leid der Verfolgung". Westfalen-Blatt (kwa de-DE). Iliwekwa mnamo 19 May 2019.  Check date values in: |accessdate= (help)

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]