Wayazidi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wanawake wa Kiyazidi wakiwa wamevaa nguo za kitamaduni.

Wayazidi ni kabila la watu wanaoishi hasa katika eneo la Kurdistan[1][2][3] na kwa namna ya pekee katika sehemu yake nchini Iraq[4][5], lakini wengine wengi wamekimbilia Ujerumani[6][7] na nchi nyingine.

Wanakadiriwa kuwa milioni moja au moja unusu.

Wanafuata dini yao maalumu ambayo inamuabudu Mungu mmoja tu. Kwa ajili yake wamedhulumiwa sana na Waislamu waliotawala eneo lao, kwanza Waarabu, halafu Waturuki.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. (1999) The Other Kurds: Yazidis in Colonial Iraq. London & New York: I. B. Tauris, 9. ISBN 1860641709. 
  2. Holy Lalish, 2008 (Ezidian temple Lalish in Iraqi Kurdistan).. 
  3. Omarkhali, Khanna (2017). The Yezidi religious textual tradition, from oral to written : categories, transmission, scripturalisation, and canonisation of the Yezidi oral religious texts: with samples of oral and written religious texts and with audio and video samples on CD-ROM. ISBN 978-3-447-10856-0. OCLC 994778968. 
  4. Kane, Sean (2011). Iraq's disputed territories. United States Institute of Peace.
  5. On Vulnerable Ground – Violence against Minority Communities in Nineveh Province's Disputed Territories. Human Rights Watch (November 2009).
  6. Alkaidy, Gohdar. "Mir Tahsin Said Beg: Oberhaupt der Jesiden stirbt im deutschen Exil", 28 January 2019. 
  7. Meyer, Natalie Lydia. Geschichten vom Leid der Verfolgung (de-DE).

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

     .
  • Kreyenbroek, Philip G. (1995). "Yezidism -- Its Background, Observances, and Textual Tradition" (in ku, en). Texts and Studies in Religion (Lewiston, Queenston and Lampeter, NY: Edwin Mellen Press) 62. OCLC 31377794
      . ISBN 978-0-773-49004-8

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]