Wamisionari wa Upendo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha ya baadhi ya masista hao wakiwa wamewaa sare zao.

Wamisionari wa Upendo ni shirika la kitawa la Kanisa Katoliki lililoanzishwa na Mama Teresa huko Kolkata, India mwaka 1950[1], ili kusaidia watu walio fukara zaidi duniani kote[2] .

Kufikia mwaka 2020 masista wake, wakiwemo waliojifungia kusali tu na wanaohudumia watu pia, walikuwa 5,167 katika nchi 139.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Mother Teresa of Calcutta. vatican.va. Vatican.
  2. Muggeridge (1971) chapter 3, Mother Teresa Speaks, pp. 105, 113.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wamisionari wa Upendo kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.