Vinvaleo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Panapotunzwa masalia yake.

Vinvaleo (pia: Gwenole; Guénolé; Winwaloe, Winwallus; Plouguin, 460 hivi - karibu na Brest, Bretagne, 532 hivi) alikuwa mmonaki anayetajwa kama mwanzilishi wa monasteri ya Landévennec nchini Ufaransa, [1].

Mwanafunzi wa Budok katika kisiwa cha Lavret, aliyapatia sifa maisha ya kimonaki.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu kama kaka zake Jakuto na Gwetnoko.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Machi[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Doble, Gilbert H. (1962). The Saints of Cornwall Part II. Truro: Dean and Chapter of Truro. pp. 59–108. 
  • Latouche, Robert (1911). Mélanges d'histoire de Cornouaille (VI-XI siècle). Paris: Honoré Champion. (Bibliothèque de l'école pratique des hautes études, Vol. 192), pp. 2–39. (showing that the documents and the life are forgeries)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.