Viborada

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Viborada katika mchoro mdogo wa mwaka 1430 hivi.
Kifodini cha Mt. Viborada.

Viborada (pia: Wiborada, Guiborat, Weibrath au Viborata; Aargau, leo nchini Uswisi, karne ya 9St. Gallen, Uswisi, 1 Mei 926) alikuwa bikira mkaapweke mwenye karama za pekee ambaye hatimaye aliuawa na Wahungari Wapagani kwa sababu ya imani yake na ya maisha yake ya kitawa[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu. Tena ndiye wa kwanza kutangazwa na Papa. Hilo lilifanywa na Papa Klementi II mwaka 1047.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Mei[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.