Verano wa Cavaillon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Verano katika mavazi ya kiaskofu.

Verano wa Cavaillon (alifariki Cavaillon, Provence, Ufaransa, 590 hivi) alikuwa askofu wa mji huo maarufu kwa maadili yake, hasa huruma kwa wagonjwa[1].

Gregori wa Tours alisimulia baadhi ya miujiza yake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kati ya watakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Oktoba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.