Upendo Furaha Peneza
Jump to navigation
Jump to search
Upendo Furaha Peneza (amezaliwa mnamo 1989) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha CHADEMA . Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalum kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Peneza alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa kundi la Wabunge Vijana katika bunge la 11.[2]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
- ↑ Upendo Peneza, mwenyekiti wa wabunge vijana aliyependa siasa akiwa shuleni, tovuti ya mwananchi.co.tz, 28 Mei 2017, iliangaliwa 29 Mein 2017
![]() |
Makala hiyo kuhusu wanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |