Unafasishaji sentensi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Unafasishaji sentensi wa mara mbili dhidi ya unafasishaji sentensi wa mara moja.

Katika uchapaji na utarakilishi, unafasishaji sentensi (kwa Kiingereza: sentence spacing) ni mabadiliko ya nafasi kati ya sentensi za andiko moja. Mtumiaji anaweza kubadilisha unafasishaji sentensi kwenye kichakata matini.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.