Matini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Andiko)
Matini ya Kiswahili.

Katika uandishi, matini ni kipengee kinachoweza kusomwa.

Katika utarakilishi, kichakata matini kinaweza kutoa matini.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1)