Tume ya UKIMWI Tanzania

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tume ya UKIMWI Tanzania (TACAIDS) ni shirika la kiserikali la Tanzania lililopewa jukumu la kuratibu mwitikio wa Tanzania kwa janga la VVU / UKIMWI.

TACAIDS ilianzishwa tarehe 1 Desemba 2000 kwa tangazo la Rais Benjamin Mkapa.[1][2]

Marehemu Reginald Mengi aliwahi kuwa kamishna wa TACAIDS.[3]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Kuhusu TACAIDS". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-08-08. Iliwekwa mnamo 2021-08-08. 
  2. "Tanzania Commission for AIDS (TACAIDS) – Holtan East Africa Ltd" (kwa en-US). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-08-08. Iliwekwa mnamo 2021-08-08. 
  3. "Dr. Mengi,Executive Chairman of IPP Limited CV and Career Profile". www.ippmedia.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2021-08-08.