Trentino-Alto Adige

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya mkoa wa Trentino-Alto Adige
Bendera ya Trentino-Alto Adige.
Bendera ya Trentino-Alto Adige.
Mahali pa Trentino-Alto Adige katika Italia.

Trentino-Alto Adige ni mkoa wa Italia wenye katiba ya pekee. Uko kaskazini kabisa mwa rasi ya Italia, ukipakana na Austria katika milima ya Alps.

Unaundwa na wilaya mbili zenye katiba za pekee. Ile ya kaskazini inatumia zaidi lugha ya Kijerumani.

Mji mkuu wake ni Trento.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]


 
Mikoa ya Italia
Mikoa ya kawaida
Abruzzo | Basilicata | Calabria | Campania | Emilia-Romagna | Lazio | Liguria | Lombardia | Marche | Molise | Piemonte | Puglia (Apulia) | Toscana | Umbria | Veneto |
Mikoa yenye katiba ya pekee
Friuli-Venezia Giulia | Sardinia | Sisilia | Trentino-Alto Adige | Valle d'Aosta
Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Trentino-Alto Adige kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.