Tombo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tombo

Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Galliformes (Ndege kama kuku)
Familia: Phasianidae (Ndege walio na mnasaba na kwale)
Ngazi za chini

Jenasi 4, spishi 16:

Tombo (pia tomboo au tomboro) ni ndege wadogo wa jenasi kadhaa katika familia ya Phasianidae. Rangi yao ni kahawia na wana michirizi. Spishi nyingine zina rangi nyekundu na buluu. Kabla ya kuruka angani hungoja mpaka mtu ni karibu kuwakanyaga na huenda umbali fupi tu. Hula mbegu hasa lakini pengine hukamata wadudu pia. Hutaga mayai 6-18 ardhini.

Tombo wanatokea Afrika, Australasia na Ulaya. Kuna ndege huko Amerika ambao wana mnasaba na tombo, lakini wanaainishwa ndani ya familia Odontophoridae.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]