Vumatiti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Tigriornis)
Vumatiti
Vumatiti mdogo
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Pelecaniformes (Ndege kama makorongo)
Familia: Ardeidae (Ndege walio na mnasaba na koikoi)
Leach, 1820
Ngazi za chini

Nusufamilia 2, jenasi 5:

Vumatiti ni ndege wakubwa wa nusufamilia Botaurinae na Tigrisomatinae katika familia ya Ardeidae ambao wana domo refu na nyembamba lakini shingo fupi kuliko spishi nyingine za familia hii. Hupinda shingo yao wakiruka angani. Ndege hawa wana rangi nyeupe, nyeusi na kahawia. Vumatiti hula samaki, amfibia na wadudu wa maji. Hizi ni spishi zinazojificha ndani ya uoto. Hujenga tago lao kwa matawi, manyasi na mimea ingine katikati ya matete au juu ya miti. Tago limefichika kwa kawaida.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Nusufamilia Botaurinae

Nusufamilia Tigrisomatinae

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]

Nusufamilia Botaurinae

Nususfamilia Tigrisomatinae

Picha[hariri | hariri chanzo]