Theofani mkaapweke

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Mt. Theofani.

Theofani mkaapweke (Theophan Zatvornik; kwa Kirusi: Феофа́н Затво́рник; Chernavsk, 10 Januari 1815 - Vysha Monastery,6 Januari 1894) alikuwa mmonaki na hatimaye askofu wa Kanisa la Kiorthodoksi la Urusi.

Kanisa lake lilimtangaza mtakatifu mwaka 1988.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Januari au 10 Januari.

Maandishi yake katika tafsiri ya Kiingereza[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.