Theo Bongonda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Theo Bongonda akiwa mazoezini

Théo Bongonda (alizaliwa 20 Novemba 1995) ni mchezaji wa soka wa Ubelgiji ambaye anacheza kama winga wa kushoto wa klabu ya Zulte Waregem na Timu ya taifa.

Kazi ya klabu[hariri | hariri chanzo]

Celta Vigo[hariri | hariri chanzo]

Mnamo tarehe 9 Januari 2015, Bongonda alijiunga katika klabu hiyo kwa mkataba wa miaka minne(4) na nusu katika upande wa La Liga klabu ya Celta de Vigo. Alicheza mechi yake ya kwanza katika mashindano ya 26, akija kama mbadala wa marehemu Nemanja Radoja katika mechi ambayo walifungwa 1-2 dhidi ya Getafe CF.

Trabzonspor[hariri | hariri chanzo]

Mnamo tarehe 15 Juni 2017, Bongonda alijiunga na klabu ya Trabzonspor kwenye mpango wa mkopo wa muda mrefu na baadaye kununuliwa.Hata hivyo alimaliza kuwa kwenye benchi sana.

Zulte Waregem[hariri | hariri chanzo]

Katika msimu wa uhamisho wa baridi wa msimu wa 2017-2018, Bongonda alirudi Zulte Waregem kwa mkopo. Mnamo 4 Julai 2018, Bongonda alijiunga na Zulte Waregem kwa mkataba wa miaka minne hadi 30 Juni 2022.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Theo Bongonda kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.