Tembo-bahari
Mandhari
| Tembo-bahari | ||||||||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
| Ngazi za chini | ||||||||||||||
|
Spishi 2:
| ||||||||||||||
Msambao wa tembo-bahari kaskazi (buluu) | ||||||||||||||
Msambao wa tembo-bahari kusi (feruzi) |
Tembo-bahari (kutoka Kijerumani: see-elefant; jenasi Mirounga) ni wanyama wakubwa wa Bahari ya Pasifiki na Bahari ya Kusini wenye mkonga mfupi kama tembo.
Spishi
[hariri | hariri chanzo]- Mirounga angustirostris, Tembo-bahari kaskazi (Northern elephant seal)
- Mirounga leonina, Tembo-bahari kusi (Southern elephant seal)