Siriaki na Paula
Mandhari
Siriaki na Paula (walifariki Urusi, leo Sougda, nchini Tunisia, 303) walikuwa ndugu waliouawa katika ujana wao kwa kupigwa mawe wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano dhidi ya Wakristo[1].
Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |