Shamgar

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Shamgar alivyochorwa katika Karne za Kati.

Shamgar mwana wa Anath (kwa Kiebrania מְגַּר, Šamgar) alikuwa mmojawapo kati ya Waamuzi wa Biblia.

Kadiri ya Waamuzi 3:31 alikomboa Israeli kutoka mikono ya Wafilisti, kwa kuwaua 600. Katika 5:6 jina linapatikana tena kwa maelezo tofauti hata kusababisha maswali mengi yanayojibiwa na wataalamu kwa namna mbalimbali.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Shamgar kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.