Severo wa Ravenna
Mandhari

Severo wa Ravenna (Ravenna, Emilia-Romagna, Italia, karne ya 3 - Ravenna, 1 Februari 344) alikuwa askofu wa 12 wa mji huo wa Italia Kaskazini[1] kuanzia mwaka 308 hadi kifo chake.
Alishiriki Mtaguso wa Sardica (343/344) [2].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Februari[3].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Vyanzo
[hariri | hariri chanzo]- vikuu
- Sermo de Sancto Severo auctore Petro Damiani;
- Anonimo, Vita sancti Severi episcopi Ravennatis (Biblioteca Hagiographica Latina ms. 7680), (collocazione).
- vingine
- Fabri, Le sacre memorie di Ravenna, Venezia 1664.
- Francesco Lanzoni, S. Severo vescovo di Ravenna (342-3) nella storia e nella leggenda, in «Atti e memorie della R. Deputazione di storia patria per le province di Romagna», serie IV, vol. I., Bologna 1911, pp. 325–396
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Giovanni Gardini, San Severo, vescovo di Ravenna Archived 2017-10-09 at the Wayback Machine
- Canti per S. Apollinare e S. Severo nei frammenti e codici liturgico-musicali ravennati, http://patrimonioculturale.unibo.it/sge/?page_id=350 Archived 2018-04-10 at the Wayback Machine
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |