Sebastian Simon Kapufi
Mandhari
Makala hii inahitaji vyanzo zaidi ili kuwezesha kuonyesha uthibitisho. |
Sebastian Simon Kapufi (amezaliwa 3 Desemba 1966) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mpanda Mjini kwa miaka 2015 – 2020. Amehitimu shahada ya sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT). Ilihifadhiwa 7 Juni 2020 kwenye Wayback Machine.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Sebastian Simon Kapufi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |