Sandra Nabweteme
Mandhari
| Sandra Nabweteme | |
| Nchi | Uganda |
|---|---|
| Kazi yake | mchezaji wa soka |
Sandra Nabweteme (alizaliwa 1 Novemba 1996) ni mchezaji wa soka wa nchini Uganda, ambaye anacheza kama mshambuliaji wa klabu ya FH women's football na timu ya Taifa ya kandanda ya wanawake ya Uganda.[1] Mnamo mwaka 2015, alitangazwa kama mchezaji bora wa kike wa mwaka katika mashindano ya FUFA.[2]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Sandra Nabweteme". Dallas Weekly. 20 Novemba 2019. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-05-03. Iliwekwa mnamo 3 Mei 2021.
{{cite news}}: More than one of|accessdate=na|access-date=specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Makhtum Muziransa (22 Machi 2021). "Nabweteme hopes Iceland move helps in career rebuild". Daily Monitor. Iliwekwa mnamo 3 Mei 2021.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Sandra Nabweteme kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |