Rufilo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Rufilo alivyochorwa akiponda joka.

Rufilo (karne ya 4 - karne ya 5) alikuwa Mkristo ambaye anatajwa kama askofu wa kwanza wa Forlimpopoli (Italia Kaskazini) aliyepinga sana Uario na kuleta Wapagani wote wa eneo lake kwenye imani ya Kikristo [1].

Alifariki akiwa na umri wa miaka 90.

Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Julai[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.