Roza Zhao

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Roza Zhao (Zhaojia, 1878 hivi - Zhaojia, mnamo Julai 1900) alikuwa mwanamke katekista wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Waboksa.

Pamoja na mama yake Maria Zhao Guozhi na mdogo wake Maria Zhao alijitupa kisimani wasije wakabakwa, lakini walitolewa nje, wakauawa na kuchomwa moto[1]

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 20 Julai[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.