Roseline Sonayee Konya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Roseline Sonayee Konya
Amezaliwa
Nigeria
Nchi Nigeria
Kazi yake Mwanasiasa

Roseline Sonayee Konya ni mwanataaluma na mwanasiasa wa Nigeria kutoka jimbo la Khana, Rivers State. Yeye ni profesa wa Toxicology na Pharmacology katika Chuo Kikuu cha Port Harcourt.[1][2]Alihudumu kama Kamishna wa Mazingira[3] katika baraza la mawaziri la Gavana Peter Odili na aliteuliwa tena kuwa afisa katika baraza la mawaziri la Gavana Ezenwo Nyesom Wike. [4] Alikuwa pia Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma mnamo mwaka 1997.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Konya Calls For Environmental Stewardship In Nigeria". University of Port Harcourt. Iliwekwa mnamo 17 June 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. Davies Iheamnachor. "Toxicologists raise alarm over pollutants in N-Delta communities Calls", Vanguard, 28 April 2015. Retrieved on 17 June 2016. 
  3. "'Government agencies, others fuelling air pollution in Port Harcourt'". The Guardian Nigeria News - Nigeria and World News (kwa en-US). 2018-05-27. Iliwekwa mnamo 2022-04-07. 
  4. John Ighodaro. "Odili Sets Up Committee to Study Ataba Crisis Report", Vanguard, 4 April 2005. Retrieved on 17 June 2016. 
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Roseline Sonayee Konya kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.