Nenda kwa yaliyomo

Romulo wa Genova

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Romulo.

Romulo wa Genova (pia: Romolo, Roeummo, Reumo, Remo; alifariki Sanremo[1], karne ya 5[2] ) anakumbukwa kama askofu wa mji huo (Italia Kaskazini), mwenye ari ya kitume, aliyefariki wakati wa kutembelea watu wa vijijini [3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Oktoba [4]

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. This town on the Italian Riviera has adopted his name: Statute of Sanremo Municipality Archived 2007-09-27 at the Wayback Machine (Kiitalia)
  2. He was traditionally reputed to have preceded Syrus (Bent, J. Theodore: Genoa: How the Republic Rose and Fell. 1881. ), but his lead coffin apparently rests upon that of Syrus beneath the high altar of the Church of San Siro. (Robert Walter Carden, "The City of Genoa," 1908: 79.
  3. https://www.santiebeati.it/dettaglio/74100
  4. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.