Nenda kwa yaliyomo

Rodingo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Rodingo (pia: Chrodingus, Chraudingus, Rodingus, Radingus, Roding, Ronin, Rouin; Austrasia, Ulaya Kaskazini Magharibi, 594 hivi - Beaulieu, leo nchini Ufaransa, 17 Septemba 680) alikuwa mmonaki hadi kifo chake katika monasteri aliyoianzisha msituni [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 Septemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Richard de Saint-Vanne, Vita Chraudirrgi (karne XI)
  • Histoire Ecclésiastique de la Province de Trèves, Et Des Pays Limitrophes, Comprenant Les Diocèses de Trèves, Metz, Toul, Verdun, Reims Et Chalons, Vol. 1, 882 p. (ISBN 978-1-391-48883-7, lire en ligne [archive]), p. 610-615

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.