Pumla Kisosonkole

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pumla Ellen Ngozwana Kisosonkole
Amekufa 1997
Nchi Uganda
Kazi yake Mwanasiasa


Pumla Ellen Ngozwana Kisosonkole (1911-1997) alikuwa mwanasiasa na mwanaharakati katika mashirika ya wanawake kutokea nchini Uganda.

Wasifu[hariri | hariri chanzo]

Pumla Ellen Ngozwana alizaliwa mwaka 1911 huko Afrika ya Kusini katika familia ya wahudumu wa kanisa la Methodisti[1]. Alipata elimu yake katika shule za misheni na kusoma katika chuo cha Fort Hare kilichopo Alice,Rasi ya mashariki.[2] Alisafiri kwenda London kwa ajili ya kuendeleza elimu yake katika taasisi ya elimu, kisha akaandika kitabu kidogo kilichoitwa "Education as I Saw It in England" (Elimu nilivyoiona nikiwa Uingereza).

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pumla Kisosonkole kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.