Nenda kwa yaliyomo

Magofu ya Pujini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Pujini Ruins)
Magofu ya Pujini.

Magofu ya Pujini (Magofu ya mji wa kale wa Pujini) ni magofu ya Zama za Kati jirani na kijiji cha Pujini kilichopo Wilaya ya Chake Chake, Mkoa wa Kusini Pemba.[1]

Eneo hilo la kihistoria lilikuwa kama ngome. Inaaminika kuwa jumba hilo lilijulikana kuwa la Mkama Ndume.[2] [3]

Ni moja kati ya maeneo kadhaa ya kihistoria ya Kitaifa katika kisiwa cha Pemba yakiwemo Chambani na Ras Mkumbuu.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Spear, Thomas (2000-01). "Swahili History and Society to 1900: A Classified Bibliography". History in Africa (kwa Kiingereza). 27: 339–373. doi:10.2307/3172120. ISSN 0361-5413. {{cite journal}}: Check date values in: |date= (help)
  2. LaViolette, Adria; Fleisher, Jeffrey (2009). "The Urban History of a Rural Place: Swahili Archaeology on Pemba Island, Tanzania, 700-1500 AD". The International Journal of African Historical Studies. 42 (3): 433–455. ISSN 0361-7882.
  3. Ingrams, William Harold (1800,01,01). "The chief's trumpet or sacred horn in East Africa" (kwa English). {{cite journal}}: Check date values in: |date= (help); Cite journal requires |journal= (help)CS1 maint: unrecognized language (link)