Wilaya ya Chake Chake

Mahali pa Chake Chake (kijani) katika mkoa wa Pemba Kusini.
Wilaya ya Chake Chake ni wilaya moja ya Mkoa wa Pemba Kusini Tanzania yenye postikodi namba 74200 .[1]. Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 97,249 [2]. Makao makuu yapo mjini Chake Chake.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Postikodi za Mkoa wa Pemba Kusini[dead link]
- ↑ Sensa ya mwaka 2012, Mkoa wa Pemba Kusini - Chake Chake. Jalada kutoka ya awali juu ya 2018-03-29. Iliwekwa mnamo 2018-03-23.
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Pemba bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Chake Chake kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno. |
![]() |
Kata za Wilaya ya Chake Chake - Mkoa wa Pemba Kusini - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Chachani | Chanjaani | Chonga (Chakechake) | Kilindi (Chakechake) | Kwale (Chakechake) | Matale (Chakechake) | Mgelema | Mvumoni | Ndagoni | Ng'ambwa (Pemba) | Pujini | Shungi | Tibirinzi | Uwandani | Vitongoji (Chakechake) | Wara | Wawi | Wesha | Ziwani (Chakechake) |