Pirmini
Mandhari

Pirmini (pia: Pirminius, Pirminio, Pirmino, Pirmi; labda Hispania[1][2][3], 670 hivi[4] - Hornbach, leo nchini Ujerumani, 3 Novemba 753[2] ) alikuwa mmonaki, halafu abati na askofu, tena mmisionari katika maeneo mbalimbali ya Ulaya Kaskazini, alipoanzisha monasteri nyingi [5].
Aliandika pia kitabu cha katekesi "Scarapsus (=Excarpsus) de singulis libris canonicalis" (710-724)[6] kwa ajili ya wasiojua kitu.
Tangu kale ametambuliwa kuwa mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Fletcher, Richard A. (1999). The barbarian conversion: from paganism to Christianity. University of California Press. ku. 203–204. ISBN 978-0-520-21859-8.
- 1 2 Old, Hughes Oliphant (1998). "3". The reading and preaching of the scriptures in the worship of the Christian church. Wm. Eerdmans. ku. 137–40. ISBN 978-0-8028-4619-8.
- ↑ Jecker, Gall (1927). Die Heimat des hl. Pirmin des Apostels der Alamannen. Aschendorf.
- ↑ "Saint Pirmin". 11 Oktoba 2009.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/76055
- ↑ J.P. Migne, Patrologia Latina 89, 1029 ff. ; Hauswald, Eckhard, mhr. (2010). Scarapsus. Monumenta Germaniae historica. Quellen zur Geistesgeschichte des Mittelalters. Juz. la 25. Hannover: Hahnsche Buchhandlung. ISBN 978-3-7752-1025-6.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
