Paulo, Sirili na wenzao

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Paulo, Sirili na wenzao walikuwa Wakristo wa Antiokia ya Syria (leo nchini Uturuki) waliofia imani yao.

Kati ya wenzao wanatajwa Eujeni, Serapioni, Tigrini, Klaudi, Esuperi, Viktorisi, Valentini na Domni, lakini hakuna hakika juu yao[1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 20 Machi[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.