Nenda kwa yaliyomo

Pascal Yohana Haonga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Pascal Yohana Haonga (amezaliwa 8 Agosti 1981) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mbozi kwa miaka 20152020. [1]

Haonga ni kabila la kinyia ambalo hutokea Mbozi mkoa wa songwe.

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania Ilihifadhiwa 13 Mei 2017 kwenye Wayback Machine., iliangaliwa Mei 2017
Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pascal Yohana Haonga kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.