Parsoma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Parsoma (Kairo, 1257 - 10 Septemba 1317) alikuwa mmonaki aliyeishi kama mkaapweke karibu uchi katika sehemu mbalimbali za Misri.

Tangu zamani anaheshimiwa na Wakopti kama mtakatifu.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.