Panda
Jump to navigation
Jump to search
Panda ni neno la Kiswahili linaloweza kumaanisha:
- Panda (kitenzi) – Ni tendo la kukwea katika miti.
- Panda (kitenzi) – Ni tendo la kuingia katika vyombo vya usafiri kwa mfano gari, pikipiki au baiskeli.
- Panda (kitenzi) – Ni tendo la kufukia mbegu ardhini katika kilimo.
- Panda (mnyama) – Ni wanyama wa porini, Panda Mkubwa na Panda mdogo katika oda Carnivora ambao hutokea Uchina na Himalaya.