Paka-pori

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Paka-pori
Paka-jangwa (Felis lybica)
Paka-jangwa (Felis lybica)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele)
Oda: Carnivora (Wanyama mbua)
Nusuoda: Feliformia (Wanyama kama paka)
Familia: Felidae (Wanyama walio na mnasaba na paka)
Nusufamilia: Felinae (Wanyama wanaofanana na paka)
Jenasi: Felis
Linnaeus, 1758
Spishi: F. lybica
Forster, 1770
Ngazi za chini

Nususpishi 3:

Msambao wa paka-pori
Msambao wa paka-pori

Paka-pori (Felis lybica) ni mnyama mbuai wa nusufamilia Felinae katika familia Felidae. Paka huyu ana msambao mkubwa sana na anatokea Afrika na Asia ya Magharibi. Spishi hii ina nususpishi tatu.

Nususpishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Paka-pori kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.