Orodha ya Maspika wa Bunge la Tanzania

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa sasa anaongoza jumla ya wabunge 393 katika Bunge la Tanzania.[1]

Ifuatayo ni orodha ya Maspika wa Bunge hilo:

Jina Kuingia madarakani Kutoka madarakani Taarifa
Adam Sapi Mkwawa 26 Aprili 1964 19 Novemba 1973 Mkwawa alichaguliwa kuwa spika wa Bunge la Tanganyika tarehe 27 Novemba 1962[2]
Erasto Andrew Mbwana Mang'enya 20 Novemba 1973 5 Novemba 1975 [2]
Adam Sapi Mkwawa 6 Novemba 1975 25 Aprili 1994 [2]
Pius Msekwa 28 Aprili 1994 28 Novemba 2005 [2]
Samuel John Sitta 28 Desemba 2005 2010 [2]
Anna Makinda 10 Novemba 2010 16 Novemba 2015 [2]
Job Ndugai 17 Novemba 2015 amejiuzulu January 1 2022 [2]
Tulia Ackson 1 Februari 2022 Hadi Sasa

Marejeo[hariri | hariri chanzo]