Samuel John Sitta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sitta

Samuel John Sitta (amezaliwa 18 Desemba, 1942) ni mbunge wa jimbo la Urambo Mashariki katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Samwel Sitta". 28 Juni 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-27. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.