Niseta wa Medikion

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro mdogo katika Menologion of Basil II.

Niseta wa Medikion (Kaisarea ya Bitinia, leo nchini Uturuki, 760 hivi - Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 3 Aprili, 824) alikuwa abati wa monasteri ya Medikion aliyedhulumiwa sana na kufungwa gerezani na kaisari Leo V wa Bizanti kwa sababu ya kutetea heshima kwa picha takatifu[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Aprili[3][4] .

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.